
“Marafiki zako wa mwanzo ambao bado ni marafiki zako mpaka sasa ni wazuri kuliko wote kutokana na sababu mbalimbali: Wamekuwepo pamoja nawe katika shida na raha; wanakujua vizuri unapokuwa na furaha, na wanakujua vizuri unapokuwa na huzuni; mmezoeana kwa miaka mingi na wanaujua hata utani wako wa ndani; wanajua nini unapendelea zaidi na nini hupendelei zaidi, na wanazijua sifa zako za ushupavu na sifa zako za udhaifu. Hata hivyo, katika maisha yetu, tunahitaji marafiki wa aina zote mbili kurahisisha maisha. Marafiki wapya hutuongezea viungo muhimu katika maisha yetu wakati marafiki wa mwanzo ni nguzo au miamba imara ya maisha yetu, na ndiyo watu hasa watakaotusaidia katika shida na raha! Usiwapoteze au usiwaache marafiki zako wa mwanzo lakini jenga mahusiano mapya. Marafiki zako wa mwanzo ni dhahabu, wa sasa ni fedha.”
―
Share this quote:
Friends Who Liked This Quote
To see what your friends thought of this quote, please sign up!
3 likes
All Members Who Liked This Quote
Browse By Tag
- love (100668)
- life (78878)
- inspirational (75349)
- humor (44112)
- philosophy (30694)
- inspirational-quotes (28594)
- god (26782)
- truth (24564)
- wisdom (24365)
- romance (24197)
- poetry (23074)
- life-lessons (22231)
- quotes (20506)
- death (20449)
- happiness (18879)
- hope (18393)
- faith (18265)
- inspiration (17186)
- spirituality (15577)
- relationships (15363)
- religion (15306)
- motivational (15224)
- life-quotes (15144)
- love-quotes (15018)
- writing (14881)
- success (14127)
- motivation (13061)
- travel (12901)
- time (12783)
- science (12002)